1 Samuel 2:10

10 awale wampingao Bwana
wataharibiwa kabisa.
Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni;
Bwana ataihukumu miisho ya dunia.

“Atampa nguvu mfalme wake,
na kuitukuza pembe
ya mpakwa mafuta wake.”
Copyright information for SwhNEN